Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

John Malisa (Guest) on April 1, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Robert Okello (Guest) on March 30, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About