Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard Mulwa (Guest) on March 6, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on February 17, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on February 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on January 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on January 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mchawi (Guest) on January 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Kawawa (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on November 22, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on October 30, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Wande (Guest) on October 10, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on September 1, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on June 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Patrick Mutua (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 14, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 12, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on December 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on December 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Baridi (Guest) on December 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharifa (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Bakari (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Ndomba (Guest) on September 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 31, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Abubakari (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rahim (Guest) on May 29, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Chris Okello (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khatib (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Wande (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on November 10, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on October 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 11, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More