Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Aug 6, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Jul 22, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Jul 20, 2021
Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Jul 9, 2021
Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Jul 7, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Jul 5, 2021
Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Jun 29, 2021
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
πŸ‘₯ Hashim Guest May 15, 2021
πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 12, 2021
πŸ˜„ Umenishika vizuri!
πŸ‘₯ Aziza Guest Apr 30, 2021
🀣 Kichekesho bora kabisa!
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Apr 12, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Apr 7, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Mwalimu Guest Apr 6, 2021
πŸ˜„ Kichekesho kamili!
πŸ‘₯ Zainab Guest Mar 22, 2021
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„
πŸ‘₯ Abdillah Guest Mar 15, 2021
πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Feb 25, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Feb 23, 2021
πŸ˜… Bado nacheka!
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Feb 12, 2021
Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Feb 1, 2021
Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jan 26, 2021
Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Jan 23, 2021
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Jan 7, 2021
πŸ˜† Hiyo punchline!
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jan 1, 2021
Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Dec 26, 2020
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Zakia Guest Dec 4, 2020
🀣 Hii imewaka moto!
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Nov 15, 2020
🀣 Hii imenigonga vizuri!
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Nov 10, 2020
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Nov 10, 2020
Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Oct 25, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Sep 28, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Fikiri Guest Sep 27, 2020
πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Sep 14, 2020
Nimecheka hadi machozi 🀣😭
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Sep 7, 2020
Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 10, 2020
πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Jul 10, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest May 29, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Apr 28, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Apr 6, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Mar 22, 2020
Hii imenifurahisha sana! 🀣😊
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Feb 25, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Feb 12, 2020
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Feb 2, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭
πŸ‘₯ Wande Guest Jan 28, 2020
πŸ˜‚ Kali sana!
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Jan 8, 2020
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Dec 23, 2019
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
πŸ‘₯ George Tenga Guest Dec 17, 2019
Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Dec 15, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Dec 13, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Dec 6, 2019
Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Nov 28, 2019
🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Nov 9, 2019
πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Oct 5, 2019
🀣 Ninaituma sasa hivi!
πŸ‘₯ Kahina Guest Sep 25, 2019
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Sep 20, 2019
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Sep 10, 2019
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Aug 17, 2019
πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Jul 31, 2019
πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Salum Guest Jul 19, 2019
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jul 10, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Jun 27, 2019
🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About