Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on June 2, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on May 26, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 3, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 25, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Farida (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on March 16, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 11, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Asha (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 3, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ali (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on October 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on September 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sharifa (Guest) on September 24, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on August 29, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samson Mahiga (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Sumari (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jane Muthui (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on August 2, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Zainab (Guest) on July 11, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 4, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 26, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sharifa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on March 15, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on March 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on March 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on February 21, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on February 18, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nassor (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2023

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Komba (Guest) on January 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 6, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Juma (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bakari (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 10, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Samson Tibaijuka (Guest) on August 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles