
Akili ni nywele, kila mtu ana zake
Akili ni nywele kila mtu ana zake: hutukumbusha kuwa kila binadamu ana mawazo na mtazamo wake wa kufanya au kuamini mambo hivyo uono hakutafanana na mwingine.
Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

Akili ni nywele kila mtu ana zake: hutukumbusha kuwa kila binadamu ana mawazo na mtazamo wake wa kufanya au kuamini mambo hivyo uono hakutafanana na mwingine.

Asiefunzwa na mama, huvunzwa na ulimwengu: maonyo ya wazaz, walezi au watu wazima yana nafasi kubwa katika ustawi wa maisha ya vijana, hivyo ni muhimu kuwasikilβ¦

Asiyesikia la mkuu, huvunjka guu: methali hii ina lengo la kuwatahadharisha watoto au vijana wadogo kuheshimu yale wanayoambiwa na wakubwa zao. Sababu kuu ya kuβ¦

Abebwaye hujikaza: huwakumbusha watu wajibu wa kufanya juhudi za kujisaidia wenyewe pale wanapopewa msaada wa awali. Ikiwa utasaidiwa basi abgalau onesha juhudiβ¦

Aisifuye mvua, imemnyea: kila jambo ambalo mtu analizungumzia atakuwa aidha na uzoefu nalo au kwa namna moja ama nyingine analifahamu.