Abebwaye hujikaza: huwakumbusha watu wajibu wa kufanya juhudi za kujisaidia wenyewe pale wanapopewa msaada wa awali. Ikiwa utasaidiwa basi abgalau onesha juhudi za kujiweza pindi msaada utakapofika mwisho
Abebwaye hujikaza: huwakumbusha watu wajibu wa kufanya juhudi za kujisaidia wenyewe pale wanapopewa msaada wa awali. Ikiwa utasaidiwa basi abgalau onesha juhudi za kujiweza pindi msaada utakapofika mwisho
Please log in or register to leave a comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!