Asiyesikia la mkuu, huvunjka guu: methali hii ina lengo la kuwatahadharisha watoto au vijana wadogo kuheshimu yale wanayoambiwa na wakubwa zao. Sababu kuu ya kufanya hivyo ni kwa sababu watu wazima wanatajiriba ya maisha na hivyo maelekezo yao huwa ni msaada kwa vijana wadogo na endapo wakiipuuza wanaweza kujikuta katika matatizo.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!