Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mwizi kawezwa ki kwelii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

236 💬 ⬇️

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Featured Image

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.

 

236 💬 ⬇️

Hizi sifa zimezidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!? MLEVI; "Ndio. MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!? MLEVI; "Nakunywa bia tano!
236 💬 ⬇️

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

 

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About