πAngalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake
Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line yenye M-pesa home plz nitumie tena kwa tigo mpenz""!! Me nikajifanya chizi nikatuma Kule kule kwenye voda (aliosema kaacha home) Nikatuma huko message ivi "nikuongezβ¦
Open printable article βπMwizi kawezwa ki kwelii
Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hta hela ya kula Jana sikua nayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humβ¦
Open printable article βπCheki hawa wachungaji
CHEKA KIDOGOWachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kβ¦
Open printable article βπAngalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa β¦
Open printable article βπHuyu jamaa kawaweza wapenda vya bure
Jamaa kaingia mgahawani kwa fujoJAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anyweWATU : Ha! Ha! Ha! Haaaa!JAMAA : Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wakeWATU: Watu weweβ¦
Open printable article βπHawa Machizi wamezidi sasa
Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hβ¦
Open printable article βπAngalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýÀñgΓΉ ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baβ¦
Open printable article βπWale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii
Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuongea bora tu akupe anakutajia 071112016 unafuraahi unaondoka unafika nyumbani unajaribu kuipiga but kabla hujapiga unagundua alikutajia tarehe ya leo Wadada acheni hβ¦
Open printable article βπMambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu
DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingiaMKAKA mtanashati,DADA akaamua kujaribu bahati yake.DADA:Mambo? KAKA:Poa.DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?KAKA:Kuhusu nini?DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.KAKA:Sawa ila nitamwambia niniMKE wangu?DADA:Aah ilβ¦
Open printable article βπMchaga aliyemshangaza Mungu
Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Munguβ¦ Dakika mbili nyingi Mchaga akakimbia na kapu la sadaka πππππππππ
Open printable article βπAngalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo
ππππ .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUODemu ; Baby Safari Hii Nataka Pale Hostel Niwafunike Mashoga Zangu Wote.Jamaa ; Poa Sweetie Ondoa Shaka Nitakununulia #Turubai Utawafunika Woteβ¦!!!Demu: Mxiuuuuuuuu Lione Sura Kama Goti La mbuzi Na Namba yangu futa Nakublocβ¦
Open printable article βπAngalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno
Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moja la chini..nimeng'oa meno yote ya chini ili iwe funzo kwa meno ya juuπ‘π‘
Open printable article βπMambo ya pesa haya..
MAMBO YA FEDHA AISEEβ¦β¦. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= β¦acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi Aβ¦ safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbayβ¦
Open printable article βπSio kwa wivu huu
Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na kwenda kwa jamaa mwenye kichongeo kipya β¦inauma sanaaβ¦WANAWAKE SIO WATU WA MCHEZO MCHEZO ASEEE Bac tuu
Open printable article βπBaada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta
MUME: Fungua mlango!MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghβ¦
Open printable article β