Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Maswali na Majibu kuhusu Malaika

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kwanza Mungu aliumba nini?

Kwanza Mungu aliumba Malaika (Kol 1:16)

Malaika ni viumbe gani?

Malaika ni viumbe vya Mungu vilivyo roho tu wenye akili na utashi. (Zab 91:11, Ebr 1:7, Ufu 12:7-9)

Mungu aliumba Malaika katika hali gani?

Mungu aliumba Malaika katika hali njema na heri kubwa.

Malaika wote walidumu katika hali njema na ya heri?

Siyo, Malaika wengine walikosa kwa kumkaidi Mungu, Wakatupwa Motoni.
Ndio Mashetani ambao Mkubwa wao ni Lusiferi. (Yoh 8:44, Uf 12:7-9)

Kwa nini Mungu ameumba Malaika?

Mungu ameumba Malaika ili wamtukuze, wafurahi naye Mbinguni, na wawe matarishi wake kwa wanadamu. (Tob 12:12, Lk 16:22)

Malaika wema kazi yao ni nini?

Malaika wema kazi yao ni kutuombea, kutumwa na Mungu kwetu, na wanatulinda kama Malaika wetu Walinzi. (Ebr 13:2)

Kila Mwanadamu anaye Malaika wake wa kumlinda?

Ndiyo, Kila Mwanadamu anaye Malaika wake wa kumlinda ndiye Malaika Mlinzi. (Mt. 18:10)

Malaika Walinzi wanatutendea nini?

Malaika walinzi hutupenda, hutuongoza, na kutulinda roho na mwilini (Zab 90:11)

Je Malaika wote ni sawa?

Hapana. Malaika wote sio sawa, maana kuna;
1. Malaika wakuu
2. Malaika wanaomtumikia Mungu Mbinguni yaani Makerubi na Maserafi
3. Malaika Walinzi

Malaika wakuu wako watatu ambao ni?

Malaika wakuu wako watatu: Mikaeli, Raphaeli na Gabrieli (Dn 10:13, Tobiti 12:15, Lk 1:26)

Makao ya shetani ni wapi na anatamani nini?

1. Mashetani kazi yao ni kuteswa Motoni
2. Hutaka kutudhuru roho na mwili na kutupoteza milele (1 Petro 5:8, Yoh 8:44)

Kisha kuumba Malaika Mungu aliumba nini?

Kisha kuumba Malaika Mungu aliumba Mbingu na dunia, na viumbe vingine vingi vyenye kuonekana mimea na watu. (Mwanzo 1;31)

Viumbe vyenye hiari ni vipi?

Malaika na watu ndio viumbe pekee vyenye hiari ya kuchagua wenyewe wachangie mpango wa Mungu au la.
โ€œNazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi, chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako; kumpenda Bwana, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wakoโ€ (Kumb 30:19-20).

Malaika na watu wanaweza kuchagua hata nini?

Malaika na watu wanaweza kuchagua hata wawe wema au wabaya milele.
โ€œKulikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguniโ€ (Ufu 12:7-8).
Chaguo letu binadamu linafanyika siku kwa siku kwa kuchukua misimamo mizuri au mipotovu kuhusu dini na maadili.
โ€œMwayachunguza Maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzimaโ€ (Yoh 5:39-40).

Malaika wakoje?

Malaika ni roho tupu walioumbwa na Mungu ili wamtukuze milele, wamlinde kila mtu na kumtumikia Bwana Yesu katika kutuokoa.
โ€œAngalieni, msidharau mmojawapo wadogo hawa, kwa maana nawaambia ya kwamba malaika zao mbinguni sikuzote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguniโ€ (Math 18:10).

Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu peke yetu?

Hapana, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu kwa kuvutwa na mashetani, yaani malaika waliokataa moja kwa moja kumtumikia; baada ya dhambi ya asili hao wanatutumia sisi pia tuangushane na wenzetu.
Lakini Mungu aliwahi kumuambia Shetani:
โ€œNitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako, na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisiginoโ€ (Mwa 3:15).
โ€œHata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamkeโ€ (Gal 4:4).
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kawawa Guest Dec 9, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Anthony Kariuki Guest Oct 10, 2023
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Apr 21, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Anna Malela Guest Mar 19, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mtei Guest Apr 19, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Mar 23, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Jan 17, 2022
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Dec 8, 2021
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Dec 6, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Majaliwa Guest Oct 9, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Grace Mushi Guest Feb 22, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Joseph Mallya Guest Nov 23, 2020
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Alice Mwikali Guest Oct 25, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Christopher Oloo Guest Sep 3, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Kenneth Murithi Guest Jul 20, 2020
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Grace Mushi Guest Jun 7, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Victor Malima Guest Apr 23, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Edward Chepkoech Guest Nov 18, 2019
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Nicholas Wanjohi Guest Sep 11, 2019
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Sep 6, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Aug 16, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Jun 2, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Bernard Oduor Guest Apr 17, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest Apr 10, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Apr 6, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Grace Mligo Guest Apr 3, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Mar 27, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Agnes Njeri Guest Mar 25, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Feb 5, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Ruth Kibona Guest Oct 26, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Jun 6, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Mar 19, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Frank Sokoine Guest Feb 19, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mtei Guest Feb 14, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Catherine Mkumbo Guest Dec 22, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Anna Kibwana Guest Aug 31, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Daniel Obura Guest Jul 21, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Joyce Aoko Guest May 10, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Feb 21, 2017
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Feb 12, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Robert Ndunguru Guest Jan 14, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mushi Guest Dec 8, 2016
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Grace Wairimu Guest Dec 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Mercy Atieno Guest Oct 11, 2016
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ James Kawawa Guest Jun 1, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Apr 11, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Mar 22, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Monica Nyalandu Guest Jan 20, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Mercy Atieno Guest Sep 23, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Catherine Naliaka Guest Aug 27, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About