Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ishara ya Msalaba

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.
Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba Msalaba kwa nguvu zetu zote.
Tunafanya njia ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu Mmoja katika Nafsi tatu. Pia Msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu.

Ishara ya Msalaba Juu ya Panda la uso, mdomo na kifua kabla ya injili
Hii ina maana Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu Kwa Akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa midomo yangu, na Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu Wote.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on June 30, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Alex Nakitare (Guest) on June 6, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Betty Cheruiyot (Guest) on May 2, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Edward Lowassa (Guest) on April 21, 2024

Nakuombea πŸ™

Alice Jebet (Guest) on April 1, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Aoko (Guest) on March 26, 2024

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 24, 2024

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Lucy Mahiga (Guest) on July 24, 2023

Dumu katika Bwana.

Ruth Mtangi (Guest) on July 7, 2023

Mungu akubariki!

Peter Mwambui (Guest) on January 28, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 28, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lucy Wangui (Guest) on February 12, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Miriam Mchome (Guest) on November 24, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Betty Akinyi (Guest) on July 6, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Jebet (Guest) on May 11, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on February 9, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Vincent Mwangangi (Guest) on February 5, 2021

Endelea kuwa na imani!

Rose Waithera (Guest) on January 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Nora Lowassa (Guest) on November 23, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Lucy Mahiga (Guest) on October 19, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Moses Kipkemboi (Guest) on August 23, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Kimario (Guest) on April 29, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Tibaijuka (Guest) on April 12, 2020

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on November 24, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2019

Rehema zake hudumu milele

Edith Cherotich (Guest) on August 26, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Okello (Guest) on July 19, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 29, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

John Lissu (Guest) on January 9, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

John Mwangi (Guest) on December 28, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Henry Sokoine (Guest) on October 12, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lucy Mushi (Guest) on June 23, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Samuel Omondi (Guest) on March 8, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 23, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Lydia Mutheu (Guest) on November 2, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mrope (Guest) on August 4, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2016

Rehema hushinda hukumu

Janet Mwikali (Guest) on September 12, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Benjamin Kibicho (Guest) on August 22, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joy Wacera (Guest) on July 22, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Wilson Ombati (Guest) on May 6, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Njoroge (Guest) on September 23, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Ruth Mtangi (Guest) on April 25, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Related Posts

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Karibu kwa Ibada ya Novena ya ... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Karibu kwa maelezo ya Ibada ya Huru... Read More

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

  1. Kama Wakatoliki, tunaamini sana ka... Read More

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Read More
Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Read More

MALAIKA WA MUNGU

MALAIKA WA MUNGU

Read More
Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Mata... Read More

Huruma ya Mungu: Kuponya Majeraha ya Roho

Huruma ya Mungu: Kuponya Majeraha ya Roho

Huruma ya Mungu: Kuponya Majeraha ya Roho

Sote tunajua kuwa maisha yetu yanaweza kuwa magu... Read More

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

Read More
Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Karibu kwenye makala hii inayojadili kuhus... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More