Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 14, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 7, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on April 14, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on April 7, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on February 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rubea (Guest) on January 5, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on October 30, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on October 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on October 9, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Amir (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Mligo (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on August 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 7, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 31, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mchawi (Guest) on May 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Wangui (Guest) on May 13, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on March 9, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on December 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 6, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on December 5, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on November 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About