Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Mrema (Guest) on May 16, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Samson Tibaijuka (Guest) on March 9, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 25, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Samson Mahiga (Guest) on November 6, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Isaac Kiptoo (Guest) on September 24, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Richard Mulwa (Guest) on August 11, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Raphael Okoth (Guest) on May 22, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elijah Mutua (Guest) on April 24, 2023

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

John Lissu (Guest) on March 22, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Janet Mbithe (Guest) on February 5, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Sharon Kibiru (Guest) on December 30, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Hellen Nduta (Guest) on December 28, 2022

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Josephine Nduta (Guest) on December 16, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

David Chacha (Guest) on October 15, 2022

Sifa kwa Bwana!

Grace Mushi (Guest) on September 2, 2022

Rehema hushinda hukumu

Kevin Maina (Guest) on June 18, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Lydia Mutheu (Guest) on June 13, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Violet Mumo (Guest) on June 12, 2022

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on February 27, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Monica Lissu (Guest) on January 30, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Daniel Obura (Guest) on November 10, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Andrew Odhiambo (Guest) on October 24, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Malima (Guest) on August 23, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Charles Mboje (Guest) on August 2, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Margaret Mahiga (Guest) on July 16, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Patrick Mutua (Guest) on March 17, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sarah Mbise (Guest) on March 6, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Faith Kariuki (Guest) on March 5, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Sumaye (Guest) on February 15, 2021

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Brian Karanja (Guest) on January 25, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Amollo (Guest) on December 26, 2020

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Kenneth Murithi (Guest) on December 26, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Charles Mrope (Guest) on December 24, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Mahiga (Guest) on October 16, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Faith Kariuki (Guest) on August 14, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Ruth Wanjiku (Guest) on May 30, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Mary Sokoine (Guest) on May 4, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Janet Wambura (Guest) on April 23, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Lydia Mutheu (Guest) on March 6, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Ruth Wanjiku (Guest) on March 5, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Janet Mwikali (Guest) on February 16, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthoni (Guest) on November 15, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Moses Kipkemboi (Guest) on October 24, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Mercy Atieno (Guest) on October 16, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Alice Wanjiru (Guest) on October 10, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Mushi (Guest) on July 26, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joyce Aoko (Guest) on April 27, 2019

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Simon Kiprono (Guest) on March 5, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Joyce Aoko (Guest) on January 11, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

John Kamande (Guest) on November 26, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Alice Mwikali (Guest) on November 11, 2018

Mungu akubariki!

Joy Wacera (Guest) on September 15, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Robert Okello (Guest) on July 27, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Ann Awino (Guest) on July 12, 2018

Amina

Josephine Nduta (Guest) on July 11, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Charles Mchome (Guest) on June 16, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on May 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About