Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Featured Image

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda Bikira Mtakatifu Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya kumtunza Mtoto Yesu, twakuomba sana, utuangalie kwa wema sie tuliokuwa fungu lake Yesu Kristu, tukakombolewa kwa damu yake. Tusimamie katika masumbuko yetu kwa enzi na shime yako.


Ee Mlinzi amini wa jamaa takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristu.
Ee Baba uliyetupenda mno tuepushe na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji, utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwopoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi likinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote; mtunze daima kila mmoja wetu, tufwate mfano wako, ili tupate na msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupata mbinguni makao ya raha milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on June 8, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

George Paul Mauya (Guest) on May 2, 2024

Amina

Victor Mwalimu (Guest) on April 2, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Monica Nyalandu (Guest) on March 9, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Benjamin Kibicho (Guest) on January 26, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

John Malisa (Guest) on January 20, 2024

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Moses Mwita (Guest) on December 3, 2023

Rehema zake hudumu milele

Henry Mollel (Guest) on October 21, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

James Kimani (Guest) on October 7, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Lucy Mahiga (Guest) on August 5, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Joyce Nkya (Guest) on July 31, 2023

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Grace Njuguna (Guest) on May 4, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Daniel Obura (Guest) on March 15, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

John Lissu (Guest) on March 1, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Anna Mahiga (Guest) on February 3, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Paul Kamau (Guest) on January 4, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Michael Onyango (Guest) on June 29, 2022

Mungu akubariki!

John Kamande (Guest) on June 21, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Chacha (Guest) on June 12, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mbise (Guest) on April 9, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Janet Sumari (Guest) on December 14, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Agnes Njeri (Guest) on October 3, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Andrew Mahiga (Guest) on May 31, 2021

Sifa kwa Bwana!

Mary Sokoine (Guest) on May 9, 2021

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Agnes Sumaye (Guest) on March 7, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Andrew Mchome (Guest) on February 3, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Kamande (Guest) on October 15, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Mariam Hassan (Guest) on September 30, 2020

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

John Lissu (Guest) on September 6, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Edward Lowassa (Guest) on July 12, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Charles Wafula (Guest) on June 2, 2020

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Stephen Kangethe (Guest) on May 23, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Catherine Naliaka (Guest) on May 9, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Benjamin Kibicho (Guest) on March 20, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Anna Sumari (Guest) on March 13, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Charles Mrope (Guest) on February 27, 2020

Nakuombea πŸ™

Diana Mumbua (Guest) on January 26, 2020

Neema na amani iwe nawe.

John Malisa (Guest) on January 23, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Miriam Mchome (Guest) on January 11, 2020

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Edith Cherotich (Guest) on January 6, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Joseph Kiwanga (Guest) on December 31, 2019

Rehema hushinda hukumu

Andrew Odhiambo (Guest) on December 30, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 10, 2019

Dumu katika Bwana.

Philip Nyaga (Guest) on October 22, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

John Lissu (Guest) on July 31, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Wilson Ombati (Guest) on July 24, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on July 11, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Jane Muthui (Guest) on July 7, 2019

Endelea kuwa na imani!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 12, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 17, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Richard Mulwa (Guest) on October 5, 2018

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mariam Kawawa (Guest) on August 16, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Njuguna (Guest) on August 15, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Esther Nyambura (Guest) on June 3, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Alice Wanjiru (Guest) on March 31, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

David Ochieng (Guest) on December 16, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Related Posts

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

πŸ“– Explore More Articles