Ukimonyesha mtu fursa akakwambiaΒ hana helaΒ mwambie hiyo ndio sababu ya wewe kumonyesha fursa ili awe na hela tukumbukeΒ kuwa hela haitokani na helaΒ hela inatokana na fursa
Nijukumu la mtu asiye na hela kutafuta njia ya kuwa na hela watu wengi tunachelewa kufanikiwa kwa kutojua majukumu yetu ili kupambana naΒ UMASIKINIΒ mwombe MwenyeziΒ MUNGUΒ kwa imani yako akufungue akiliβ¦
To ur Success!







Discussion
Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.
You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.
Log in to participate