Ina Imidacloprid 20EC

Hii ni dawa maalumu Kwa ajili ya kuua wadudu shambani na kwenye majengo/majumbani.
Dawa hii inaua wadudu Kama vile kimamba, utitiri mweusi, mabaka meusi chini ya Majani, vipepeo weupe na wadudu wanaofyonza maua.
Dawa hii ina nguvu na uwezo wa kufanya kazi Muda mrefu kuulinda mmea/majengo dhidi ya wadudu waharibifu.
Dawa hii ni Maalumu Kwa kuangamiza mchwa kwenye viota na vichuguu.
Imetengenezwa katika Ubora wa Hali ya Juu Ili kukuhakikishia matokeo mazuri unapotumia dawa hii.
Bidhaa hii inaletwa Kwako na Kampuni yaย BareFoot International Limited. Wauzaji na wasambazaji waย bidhaa Bora za Kilimo Tanzania.
Mawasiliano
Simu:
+255 756 914 936
โ
WhatsApp:
+255 756 914 936
โ
Email:
info@bfi.co.tz
โ
No comments yet. Be the first to share your thoughts!