Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
β€’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
β€’ Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
β€’ Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
β€’ bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
β€’ Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
β€’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
β€’ Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
β€’ Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 0

Please log in or register to comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts! πŸ“

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About