Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani.

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Je, watu wanapenda kujaribu nafasi mpya za ngono/kufanya mapenzi?
- Je, watu wanapenda kujaribu nafasi mpya za ngono/kufanya mapenzi?
Hivi karibu... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana
Mara nyingi, wanaume wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwa na uhusiano mzuri na msichana. Inawezeka... Read More

Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali ... Read More

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda
Kuanza mazungumzo na msichana unayempenda inaweza kuwa vigumu, lakini pia inaweza kuwa jambo la k... Read More

Nini kifanyike nini kwa mtu ambaye hafikii kilele au mshindo wakati anapofanya mapenzi?

Jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, ...
Read More

Dawa za kulevya ni nini?
Tunaposema dawa za kulevya ina maana ni matumizi mabaya ya dawa na hasa pale yatumikapo kinyume c... Read More

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu... Read More

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k... Read More

Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa?
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha a...
Read More

Kwanini Albino wanakuwa na mabaka meusi kwenye ngozi zao?
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na...
Read More

Kuna fikra kuwa Albino ni watu wa kawaida je, kisayansi hii ni kweli?
Hii ni kweli kabisa. Watu wanaoishi na ualbino ni watu wa
kawaida kama binadamu wengine wote...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!