Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Featured Image

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: β€œYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!” . Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Mrope (Guest) on June 22, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Samson Tibaijuka (Guest) on May 18, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Malima (Guest) on April 27, 2024

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Mary Njeri (Guest) on April 18, 2024

πŸ™πŸ™πŸ™

Andrew Mchome (Guest) on April 13, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Bernard Oduor (Guest) on March 13, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Mtei (Guest) on February 22, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Peter Mbise (Guest) on December 3, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Mary Kendi (Guest) on November 24, 2023

Baraka kwako na familia yako.

George Tenga (Guest) on November 11, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Faith Kariuki (Guest) on October 28, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Charles Mboje (Guest) on September 10, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Chris Okello (Guest) on August 17, 2023

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 11, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Victor Malima (Guest) on July 2, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Kenneth Murithi (Guest) on June 5, 2023

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Charles Wafula (Guest) on May 21, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mary Kidata (Guest) on May 7, 2023

Sifa kwa Bwana!

Joseph Mallya (Guest) on April 21, 2023

Mungu akubariki!

Josephine Nduta (Guest) on February 10, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Mwangi (Guest) on June 28, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mrema (Guest) on June 8, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Esther Nyambura (Guest) on May 31, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

George Ndungu (Guest) on May 17, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Betty Kimaro (Guest) on April 13, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

George Ndungu (Guest) on April 12, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Margaret Mahiga (Guest) on December 10, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Francis Mtangi (Guest) on September 23, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Edwin Ndambuki (Guest) on August 5, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Victor Sokoine (Guest) on July 8, 2021

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Mariam Kawawa (Guest) on June 6, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Sokoine (Guest) on April 10, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Sarah Achieng (Guest) on March 25, 2021

Rehema zake hudumu milele

Grace Majaliwa (Guest) on January 9, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Agnes Njeri (Guest) on November 14, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Lucy Mahiga (Guest) on July 3, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ann Wambui (Guest) on June 19, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Robert Ndunguru (Guest) on April 26, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Lydia Mutheu (Guest) on April 17, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Shamim (Guest) on March 28, 2020

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Wambui (Guest) on February 18, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on January 31, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

John Mushi (Guest) on January 28, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Agnes Njeri (Guest) on December 3, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Aoko (Guest) on November 10, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mary Njeri (Guest) on October 25, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

James Malima (Guest) on August 1, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 8, 2019

Endelea kuwa na imani!

Joyce Nkya (Guest) on June 1, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2019

Amina

Lucy Mahiga (Guest) on February 19, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Anna Mahiga (Guest) on February 18, 2019

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Brian Karanja (Guest) on January 13, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Grace Mligo (Guest) on December 12, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Minja (Guest) on November 7, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

πŸ“– Explore More Articles