Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Madhara ya sigara na pombe kwa mtoto

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!

Watoto hasa ndio wapo katika hatari zaidi ya kupata madhara
yatokanayo na uvutaji sigara na unywaji pombe, kwa sababu
bado wanaendelea kukua. Wanaweza wakaathiri miili yao na ubongo
kwa maisha yao yote. Wana hatari zaidi ya kuathirika katika
maendeleo yao ya kijamii na kisaikolojia. Matumizi mabaya ya pombe
na sigara yanaweza yakaleta madhara katika makuzi ya mtoto.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 0

Please log in or register to comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts! πŸ“

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About