Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_79206a4f8c3826facde49aff70498ead, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Mapishi ya Kuku wa kukaanga
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Miguu ya kuku (chicken legs) 10
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger & garlic paste) 1 kijiko cha chakula
Limao (lemon) 1
Pilipili iliyosagwa (ground scotch bonnet) 1/2
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander) kiasi
Chumvi (salt) kiasi
Mafuta ya kukaangia (veg oil)
Matayarisho
Safisha kuku kisha mtie kwenye sufuria na viungo vyote (kasoro mafuta na giligilani) kisha mchemshe mpaka aive na umkaushe supu yote. Baada ya hapo mkaange katika mafuta mpaka awe wa brown kisha mtoe na uweke katika kitchen towel ili kuchuja mafuta. Baada ya hapo weka katika sahani na umwagie giligilani kwa juu. Na hapo kuku wako atakuwa tayari kwa kuliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_66fd08a6d26045d70a113c909450208e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MAHITAJI
Unga kikombe 1 ½
Siagi ½ kikombe
Sukari ½ kikombe
Yai 1
...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 ...
Read More
Viamba upishi
Nyanya 1 kg
Maji Iita ½
Chumvi kijiko kidogo 1
Sukari
<...
Read More
Mahitaji
Mchele - 4 vikombe
Kuku - 1
Vitunguu - 3
Nyanya/tungule - 4Read More
Mahitaji
Mchele - 2 Mugs
Viazi - 3
Nyama ya Kusaga - 1 Pound
Mboga mcha...
Read More
Wali Wa Mpunga
Mchele wa mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - ...
Read More
MAHITAJI
Mchele Basmati - Mugs 2 ½
Vitunguu (Vikubwa kiasi) - 3
Tuna - Vibat...
Read More
Kuandaa Chakula kwa Kupunguza Uzito: Vidokezo na Mapishi 🍽️💪
Kupunguza uzito ni le...
Read More
Njia za kupima Afya
Njia mbalimbali hutumika kupima hali ya lishe, njia hizi ni;
Read More
Vipimo Vya Ugali
Unga wa mahindi - 4
Maji - 6 kiasi kutegemea na aina ya unga
Read More
Vipimo
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs)
Kuku - 2
Vitnguu ...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano 1 Kilo
Siagi ¼ kilo
Mayai 2
Kastadi (custa...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!