Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6deaf940fbd689759d661619d1960af, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Jinsi ya kuandaa Vileja Vya Karanga
Date: July 10, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
MAHITAJI
Mayai 5
Sukari 450gm (1ย lb)
Unga wa Ngano 1ย kg
Siagi 450gm (1ย lb)
Baking powder ยฝ Kijiko cha chai
Unga wa Custard Vijiko 2 vya chakula
Karanga za kusaga 250gm
Jam ยฝ kikombe
MAANDALIZI
Chukua bakuli la kiasi, weka sukari na siagi.
Changanya sukari na siagi kwa kutumia mashine ya kukorogea keki (cakemixer), mpaka sukari ichanganyike na siagi.
Vunja yai moja moja na weka kiini chake kwenye mchanganyiko wa sukari na siagi, endelea kuchanganya mpaka ichanganyike vizuri. Hifadhi ute wa mayai ndani ya kibakuli.
Mimina unga wa ngano ndani ya mchanganyiko wako huku ukichanganya Changanya unga wa custard na baking powder.
Tengeneza viduara vidogo vidogo.
Vichovye viduara ndani ya ute wa yai kisha zimwagie unga wa karanga na kuzipanga kwenye tray ya kuchomea.
Weka dole gumba kati kati ya kila kiduara na uweke jam.
Washa jiko (oven) 350F na uchome vileja vyako kwa dakika 20.
Toa vileja vyako vipoe na uviweke ndani ya sahani tayari kwa kuliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9a8b679d9afdd2edd75d569778db224e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
VIAMBAUPISHI
Unga - 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa - 2/3 Magi (kikombe...
Read More
Viamba upishi
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikom...
Read More
Vyakula vya Kutayarishwa Mapema kwa Afya Vinavyofaa kwa Usiku wa Juma
๐๐ฅ
Usik...
Read More
Mahitaji
Mchele 2 vikombe vya chai
Choroko kikombe 1 na 1/2
Nazi kopo 1
Sw...
Read More
Viamba upishi
Mboga za majani makavu ยผ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zi...
Read More
Viambaupishi
Unga 4 Vikombe
Sukari 10 Ounce
Siagi 10 Ounce
Mdalasini ya...
Read More
MAHITAJI
Maji baridi โ kikombe 1
Biskuti za kawaida โ paketi 2
Kaukau (co...
Read More
Mahitaji
Mchele 2 vikombe vya chai
Choroko kikombe 1 na 1/2
Nazi kopo 1
Sw...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano - magi 2 (vikombe vikubwa)
Hamira kijiko 1 cha chai
<...
Read More
Mahitaji
Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chunguRead More
Vipimo
Boga la kiasi - nusu yake
Tui zito la nazi 1 ยฝ gilasi
Sukari ยฝ kikom...
Read More
VIPIMO
Unga wa mchele 500g
Samli 250g
Sukari 250g
Hiliki iliyosagwa 1/2 k...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!