Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-18 07:42:44πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Viambaupishi

Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2 Siagi 4 Vijiko vya supu Maziwa (condensed) 300Ml Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe Zabibu kavu 1 Kikombe Arki (essence) 1 Kijiko cha supu

Jinsi ya kuandaa na kupika

1) Weka karai kwenye moto kiasi 2) Tia siagi 3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu. 4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga 5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono. 6) Tia arki 7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze. 8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja. 9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.