Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
