Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.

Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!