Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close
Ushauri kwa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usimpe mtu ushauri ambao unahisi ataukubali sana, mpe mtu ushauri wenye manufaa kwake japo ni mgumu kuukubali.
Read more
Close
Biashara ya maisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Maisha yanasonga mbele.
Read more
Close
Mwanzo mzuri wa kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.
Read more
Close
Mfu wa Mawazo
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiona unaweza ukakaa siku nzima bila hata kuwa na wazo moja jipya ujue umezeeka akili tayari na kesho unaweza ukawa haupo
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close
Uzuri na ubora
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uzuri wa kitu huvutia MACHO lakini ubora wa kitu huuteka MOYO daima. Uzuri haudumu.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Maisha ya ujana
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au majuto ya ujana.
Read more
Close
Kujithamanisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujithaminishe wenyewe kwa yale tunayoona tunauwezo wa kuyafanya japokuwa watu wengine wanatuthamanisha kwa yale wanayoyaona tumeshayafanya
Read more
Close