Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close
Maendeleo kwa mfano wa Kobe
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni yule anayetoa kichwa chake kwenye gamba/nyumba yake.
Read more
Close
Ushauri kwa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usimpe mtu ushauri ambao unahisi ataukubali sana, mpe mtu ushauri wenye manufaa kwake japo ni mgumu kuukubali.
Read more
Close
Mwanzo mzuri wa kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.
Read more
Close
Kinga ya magonjwa na madhara yote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.
Read more
Close
Umbali na upendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapokosa kitu ukipendacho kwa muda mfupi kinapungua thamani, ukikikosa kwa muda mrefu thamani yake yote hupotea.
Read more
Close
Mfu wa Mawazo
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiona unaweza ukakaa siku nzima bila hata kuwa na wazo moja jipya ujue umezeeka akili tayari na kesho unaweza ukawa haupo
Read more
Close
Maisha ya ujana
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au majuto ya ujana.
Read more
Close
Kushindwa jambo sio Makosa
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.
Read more
Close