Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Mwinuka (Guest) on July 14, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on July 11, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Kangethe (Guest) on May 13, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rose Lowassa (Guest) on May 8, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 5, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 30, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 15, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on March 5, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on February 25, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on February 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on February 18, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 9, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on January 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mgeni (Guest) on December 16, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kitine (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 15, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Umi (Guest) on November 8, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Fadhila (Guest) on November 1, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Malela (Guest) on October 30, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Muslima (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Saidi (Guest) on September 24, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Mushi (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kahina (Guest) on September 6, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Wande (Guest) on August 31, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Alice Jebet (Guest) on August 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 28, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Khalifa (Guest) on July 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 10, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Njeru (Guest) on July 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on July 1, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on June 15, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ndoto (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Kibwana (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Latifa (Guest) on April 22, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Odhiambo (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Issa (Guest) on February 3, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on February 1, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Aoko (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kijakazi (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Onyango (Guest) on November 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Baridi (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on October 28, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Issack (Guest) on October 23, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on October 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 8, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Malela (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Amir (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on September 17, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khatib (Guest) on September 8, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Umi (Guest) on August 23, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Anna Malela (Guest) on August 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on July 16, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on June 28, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Njuguna (Guest) on June 10, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 27, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About