Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Muslima (Guest) on June 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Adhiambo (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Chacha (Guest) on April 13, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jabir (Guest) on March 24, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Kangethe (Guest) on March 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on February 2, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mahiga (Guest) on January 21, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on November 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Christopher Oloo (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 29, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Husna (Guest) on June 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanakhamis (Guest) on May 20, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Malecela (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on April 11, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Malisa (Guest) on March 20, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on February 11, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Kendi (Guest) on January 8, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Khalifa (Guest) on December 12, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on December 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jane Muthoni (Guest) on September 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Ndungu (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Issack (Guest) on September 7, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 29, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 23, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Violet Mumo (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Janet Mbithe (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on July 6, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Salum (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ali (Guest) on May 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About