Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguu
Mimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zariβ¦
πππ
naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
