Ukaguzi wa Kila siku
β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota.
β’ Ondoa kinyesi kwa kuku.
β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa
Ukaguzi Kwa wiki
β’ Ondoa matandazo machafu na kuweka mapya ili kuzuia kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa.
Ukaguzi kwaKwa mwezi
β’ Angalia uwepo wa wadudu na chawa, kisha utibu kama kuna ulazima.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!