Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Featured Image

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku
akiwa hajui kama mkewe malaya,
Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka
mkewe akaanza kuingiza wanaume kama
kawaida
Hawara 1;nakupenda
Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla
Mume wngu hajarudi.
Hawara 1;oke!
Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara
mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume
wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke
wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua
hawara 2.
mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua
mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu
hajarudi..
picha likaendelea huku wa darini akiona vyote,
mlangon kukagongwa
mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun
jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea
mumewe,
mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka
eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana
tulikua hatuna mboga
mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu.
hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo
uvunguni… 

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kassim (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rabia (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Nashon (Guest) on January 25, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on January 7, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Jamal (Guest) on January 3, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sekela (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Adhiambo (Guest) on November 20, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Malecela (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on August 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 27, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 13, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on May 30, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on May 2, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nahida (Guest) on May 1, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Malima (Guest) on March 31, 2016

Asante Ackyshine

John Kamande (Guest) on March 31, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Nyerere (Guest) on March 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on February 15, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Yahya (Guest) on February 7, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on February 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mariam (Guest) on December 27, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Yusra (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on November 8, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on November 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on September 20, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 14, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Raha (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Esther Nyambura (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on August 10, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Betty Akinyi (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on July 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on June 18, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwagonda (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kassim (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on May 7, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Monica Lissu (Guest) on April 28, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 26, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

πŸ“– Explore More Articles