Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Related Posts

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles