Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
👥 Peter Otieno Guest Jul 31, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
👥 Susan Wangari Guest Jul 18, 2017
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂
👥 Fredrick Mutiso Guest Jul 10, 2017
Kweli mna ucheshi! 😂🤣
👥 Peter Mugendi Guest Jun 30, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌
👥 Janet Sumari Guest Jun 21, 2017
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
👥 Diana Mallya Guest May 19, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
👥 George Wanjala Guest May 11, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆
👥 Lucy Mahiga Guest Apr 1, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂
👥 Anna Mchome Guest Mar 20, 2017
😂 Nalia kwa kweli hapa!
👥 Agnes Sumaye Guest Feb 6, 2017
😅 Bado nacheka!
👥 Isaac Kiptoo Guest Jan 18, 2017
Nimefurahia sana hii joke! 😅😂
👥 Edith Cherotich Guest Jan 5, 2017
🤣🤣👏😆
👥 Maulid Guest Dec 22, 2016
😅 Nilihitaji hii!
👥 Monica Lissu Guest Nov 24, 2016
😂 Ninashiriki mara moja!
👥 David Nyerere Guest Nov 11, 2016
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
👥 Maulid Guest Oct 22, 2016
😄 Kichekesho gani!
👥 Nicholas Wanjohi Guest Oct 16, 2016
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
👥 Margaret Mahiga Guest Aug 31, 2016
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅
👥 Khadija Guest Aug 16, 2016
😁 Kicheko bora ya siku!
👥 Baraka Guest Jul 25, 2016
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
👥 Jaffar Guest Jun 30, 2016
😆 Ninacheka sana sasa hivi!
👥 Linda Karimi Guest Jun 27, 2016
🤣🤣😂
👥 Rubea Guest May 24, 2016
😆 Kali sana!
👥 Lydia Mzindakaya Guest May 10, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
👥 Paul Ndomba Guest Mar 13, 2016
😃 Hali imeboreshwa papo hapo!
👥 Michael Onyango Guest Mar 6, 2016
Hii ni ya maana sana! 😂👌
👥 Michael Mboya Guest Mar 3, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
👥 Michael Mboya Guest Mar 2, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂
👥 Margaret Mahiga Guest Feb 20, 2016
😄 Kichekesho kamili!
👥 Nancy Kawawa Guest Feb 11, 2016
Hii imenifurahisha sana! 😊😅
👥 Mariam Hassan Guest Jan 31, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆
👥 Anna Malela Guest Jan 28, 2016
Hii imenifurahisha kweli! 😆😂
👥 Janet Sumaye Guest Jan 5, 2016
Asante Ackyshine
👥 Janet Mbithe Guest Dec 9, 2015
Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌
👥 Stephen Malecela Guest Dec 6, 2015
😄 Umenishika vizuri!
👥 Jamila Guest Nov 17, 2015
🤣 Nalia kwa kicheko kweli!
👥 Paul Ndomba Guest Nov 3, 2015
🤣😆😊😂
👥 Nassor Guest Nov 2, 2015
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂
👥 Ramadhan Guest Nov 1, 2015
🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
👥 Peter Mugendi Guest Oct 26, 2015
😆😂👏
👥 Miriam Mchome Guest Oct 11, 2015
😅😊😂👏
👥 Kheri Guest Sep 4, 2015
😆 Naihifadhi hii!
👥 Grace Wairimu Guest Sep 2, 2015
😂 Hii ni kali sana!
👥 Janet Mwikali Guest Jul 15, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊
👥 Mary Kendi Guest Jul 13, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂
👥 Stephen Kangethe Guest Jul 1, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆
👥 Frank Sokoine Guest Jun 23, 2015
Mna talent ya jokes! 👏😂
👥 George Mallya Guest Jun 15, 2015
🤣🔥😊
👥 David Sokoine Guest Jun 1, 2015
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
👥 Anna Mahiga Guest May 16, 2015
🤣👍👌
👥 Esther Cheruiyot Guest May 6, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅
👥 Martin Otieno Guest Apr 29, 2015
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
👥 Janet Wambura Guest Apr 22, 2015
🤣😄😊
👥 Bakari Guest Apr 21, 2015
😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
👥 Chiku Guest Apr 12, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌
👥 Francis Mtangi Guest Apr 8, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

🔗 Related Posts

🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About