Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on December 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 25, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on October 8, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 1, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Kimotho (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Omar (Guest) on March 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nancy Komba (Guest) on February 19, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on January 4, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on December 16, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on September 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 17, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 2, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Edwin Ndambuki (Guest) on August 30, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 23, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on August 3, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Adhiambo (Guest) on June 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on May 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Moses Mwita (Guest) on April 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 15, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bakari (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on January 26, 2016

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on January 4, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Christopher Oloo (Guest) on November 24, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on November 8, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 6, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 30, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fadhila (Guest) on August 3, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 29, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Arifa (Guest) on May 7, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 29, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About