Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza "Samahani dada
unaitwa Google?".
Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?". Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta
"π
πππππππππ
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
