Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrema (Guest) on November 14, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 16, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 5, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mohamed (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

John Lissu (Guest) on August 29, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on August 28, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwakisu (Guest) on August 28, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on August 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Achieng (Guest) on August 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on June 26, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on June 24, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mazrui (Guest) on May 25, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Amukowa (Guest) on March 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on February 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on January 29, 2017

😊🀣πŸ”₯

Charles Mrope (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on October 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mohamed (Guest) on October 3, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Mwikali (Guest) on August 13, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lydia Mahiga (Guest) on July 23, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on May 31, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on May 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kassim (Guest) on May 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on May 5, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Latifa (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on April 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 16, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on March 23, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on March 2, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Warda (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Majid (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Muslima (Guest) on November 26, 2015

Asante Ackyshine

Kijakazi (Guest) on November 21, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Agnes Sumaye (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 8, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Nkya (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jabir (Guest) on July 24, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Fadhili (Guest) on June 29, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on June 7, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nuru (Guest) on May 23, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mwanaidi (Guest) on May 19, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on May 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About