Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Apr 23, 2017
πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Mar 25, 2017
πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Mar 20, 2017
πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jan 24, 2017
🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Dec 22, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Dec 18, 2016
πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Dec 12, 2016
πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Dec 11, 2016
Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Oct 23, 2016
Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Oct 6, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Oct 2, 2016
πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Sep 13, 2016
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Sep 6, 2016
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š
πŸ‘₯ Juma Guest Aug 30, 2016
Asante Ackyshine
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Aug 28, 2016
🀣πŸ”₯😊
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Aug 14, 2016
Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Fikiri Guest Aug 6, 2016
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Aug 4, 2016
πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Jul 3, 2016
Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Hassan Guest Jun 29, 2016
πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Jun 7, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jun 3, 2016
Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest May 17, 2016
πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest May 16, 2016
Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest May 5, 2016
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Apr 21, 2016
πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ John Mushi Guest Apr 14, 2016
πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Apr 2, 2016
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Mar 5, 2016
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Mar 4, 2016
πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Feb 18, 2016
πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Umi Guest Feb 2, 2016
🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jan 8, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ John Mushi Guest Jan 4, 2016
πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Dec 23, 2015
πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Dec 23, 2015
Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Dec 15, 2015
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Mwafirika Guest Nov 22, 2015
πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Sep 28, 2015
Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Sep 23, 2015
Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Aug 24, 2015
Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Aug 22, 2015
πŸ˜„ Kali sana!
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Aug 21, 2015
πŸ˜† Hii imenigonga kweli!
πŸ‘₯ Rahma Guest Jul 25, 2015
πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Jul 14, 2015
Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Jul 10, 2015
Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jul 2, 2015
πŸ˜† Kali sana!
πŸ‘₯ Hamida Guest Jun 28, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Jun 12, 2015
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Jun 4, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Jun 2, 2015
πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest May 23, 2015
πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest May 9, 2015
😁 Hii ni dhahabu!
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Apr 28, 2015
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…
πŸ‘₯ George Mallya Guest Apr 27, 2015
Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£
πŸ‘₯ Rabia Guest Apr 4, 2015
πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About