KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri
Date: September 15, 2016
Author: Melkisedeck Leon Shine
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"
Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"
Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"β¦β¦β¦!!
ππππππππππ»ππ»ππ»ππ»
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa...
Read More
Hii ndio Bongo
Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k...
Read More
Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,
Kainuka na kuanza k...
Read More
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More
```Nimetoka interview hapa ya job flani
Wameniuliza "so how far did you go with your edu...
Read More
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua ...
Read More
Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et
"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"
Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;
Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu...
Read More
01.π Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.
<...
Read More
*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*
*Teacher:* `Who is a pharmacist?`
*Shemdoe...
Read More
Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili
(1) Mfa maji ?β¦β¦β¦β¦β¦β¦.. Tampa life jacket.Read More
Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni...
Read More
Chris Okello (Guest) on February 24, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Bakari (Guest) on February 15, 2020
π Kali sana!
Janet Mwikali (Guest) on February 5, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Joseph Mallya (Guest) on January 15, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Michael Onyango (Guest) on December 4, 2019
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Stephen Amollo (Guest) on November 30, 2019
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Stephen Mushi (Guest) on November 16, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Lucy Mushi (Guest) on October 27, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2019
Nimeipenda hii joke! ππ
Jane Muthoni (Guest) on October 23, 2019
Hii imenichekesha sana! ππ
Nuru (Guest) on October 11, 2019
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Sarah Mbise (Guest) on September 29, 2019
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
John Malisa (Guest) on September 9, 2019
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on August 15, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2019
Nimecheka hadi machozi π€£π
Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2019
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Francis Njeru (Guest) on May 18, 2019
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Faith Kariuki (Guest) on May 4, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Anna Mchome (Guest) on May 3, 2019
Hii imenibamba sana! ππ
Sharon Kibiru (Guest) on May 2, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Kahina (Guest) on April 29, 2019
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Mariam (Guest) on April 11, 2019
π€£ Sikutarajia hiyo!
Zainab (Guest) on March 23, 2019
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Victor Malima (Guest) on January 27, 2019
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Diana Mumbua (Guest) on January 23, 2019
π€£ππ
Rose Kiwanga (Guest) on December 19, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Jane Muthui (Guest) on December 17, 2018
Hii imenichekesha sana! π€£π
Hashim (Guest) on December 7, 2018
π Kichekesho gani!
Mary Sokoine (Guest) on November 28, 2018
π Nalia kwa kweli hapa!
Patrick Mutua (Guest) on November 13, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2018
πππ π€£
Hekima (Guest) on September 29, 2018
π Umeimaliza kabisa!
James Kawawa (Guest) on August 29, 2018
π€£ππ
Bernard Oduor (Guest) on July 23, 2018
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Janet Sumaye (Guest) on July 6, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Janet Mbithe (Guest) on June 29, 2018
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Elizabeth Mrema (Guest) on June 25, 2018
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Margaret Mahiga (Guest) on June 14, 2018
ππ€£ππ
Janet Wambura (Guest) on May 27, 2018
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Margaret Anyango (Guest) on May 16, 2018
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Sarafina (Guest) on May 4, 2018
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Anna Sumari (Guest) on May 1, 2018
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Samson Mahiga (Guest) on April 22, 2018
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on April 9, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Monica Nyalandu (Guest) on March 24, 2018
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 8, 2018
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Dorothy Majaliwa (Guest) on January 29, 2018
π Kali sana!
Martin Otieno (Guest) on January 20, 2018
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on December 17, 2017
π Naihifadhi hii!
Kenneth Murithi (Guest) on December 16, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Lucy Mushi (Guest) on December 9, 2017
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Margaret Anyango (Guest) on November 20, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
John Mushi (Guest) on November 5, 2017
π Nimeipenda kabisa hii!
Azima (Guest) on October 16, 2017
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Charles Wafula (Guest) on October 13, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on October 2, 2017
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Rose Waithera (Guest) on September 30, 2017
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
John Mushi (Guest) on September 10, 2017
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£