Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!… MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu" MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!.. MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270" MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!." MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mazrui (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on March 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on February 24, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on February 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on January 12, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on January 9, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 19, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Malecela (Guest) on October 29, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on October 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

James Malima (Guest) on October 4, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 28, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on September 17, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on August 31, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 20, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nuru (Guest) on August 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 17, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khadija (Guest) on March 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Elizabeth Malima (Guest) on February 2, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Carol Nyakio (Guest) on January 22, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 7, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Abdillah (Guest) on December 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ndoto (Guest) on October 23, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on October 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 10, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on September 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on August 27, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Margaret Mahiga (Guest) on August 16, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Emily Chepngeno (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on July 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on June 13, 2018

Asante Ackyshine

Catherine Naliaka (Guest) on June 6, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Anna Kibwana (Guest) on March 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Zulekha (Guest) on February 15, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on February 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 27, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Juma (Guest) on January 4, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on December 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on December 7, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 9, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on October 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on September 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles