Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on January 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on December 29, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on December 22, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jamila (Guest) on December 17, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mushi (Guest) on December 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lydia Mutheu (Guest) on October 20, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on October 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Shabani (Guest) on September 20, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on September 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on August 29, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Moses Mwita (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on April 3, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rehema (Guest) on March 22, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Mtangi (Guest) on March 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on March 16, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on February 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Selemani (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on November 28, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on November 28, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Patrick Mutua (Guest) on November 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on October 19, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Janet Sumaye (Guest) on October 4, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 30, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Kibona (Guest) on August 14, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 9, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on July 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 15, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ali (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 9, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on April 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Selemani (Guest) on March 26, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Ochieng (Guest) on March 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on February 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 8, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jackson Makori (Guest) on January 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Njeri (Guest) on December 23, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Mwangi (Guest) on October 11, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on October 3, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About