Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda Bikira Mtakatifu Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya kumtunza Mtoto Yesu, twakuomba sana, utuangalie kwa wema sie tuliokuwa fungu lake Yesu Kristu, tukakombolewa kwa damu yake. Tusimamie katika masumbuko yetu kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa jamaa takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristu.
Ee Baba uliyetupenda mno tuepushe na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji, utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwopoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi likinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote; mtunze daima kila mmoja wetu, tufwate mfano wako, ili tupate na msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupata mbinguni makao ya raha milele.
Amina.
Diana Mallya (Guest) on December 2, 2017
Amina
Victor Mwalimu (Guest) on November 9, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
George Wanjala (Guest) on July 10, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Grace Majaliwa (Guest) on April 28, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Chris Okello (Guest) on March 18, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on March 11, 2017
ππ Mungu akujalie amani
Joseph Kitine (Guest) on March 7, 2017
ππ Neema za Mungu zisikose
David Kawawa (Guest) on February 23, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Paul Kamau (Guest) on February 9, 2017
πππ
Mary Njeri (Guest) on January 26, 2017
πβ€οΈ Mungu akubariki
Daniel Obura (Guest) on October 22, 2016
ππ Nakushukuru Mungu
Michael Mboya (Guest) on October 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Anna Malela (Guest) on July 23, 2016
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Alex Nakitare (Guest) on July 3, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Fredrick Mutiso (Guest) on July 1, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2016
ππ Mbarikiwe sana
Janet Sumaye (Guest) on December 28, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Lucy Wangui (Guest) on August 7, 2015
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Sarah Achieng (Guest) on July 20, 2015
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Elizabeth Mrema (Guest) on July 9, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mary Sokoine (Guest) on June 18, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Ruth Wanjiku (Guest) on May 19, 2015
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Ann Wambui (Guest) on May 3, 2015
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike