Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria saba kwa kila teso.

TESO LA KWANZA

Mzee Simeoni aliagua kuwa Moyo wa Mama Maria utachomwa kwa upanga.
Tuombe neema ya kuvumilia mateso.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA PILI

Maria na Yosefu walikimbilia Misri usiku ili kumficha Mtoto Yesu asiuawe na Herodi.
Tuombe neema ili miili yetu iwe kimbilio lake Yesu.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA TATU

Mama Maria aliona uchungu sana Mtoto Yesu alipopotea kwa siku tatu.
Tuombe neema ya kudumu na Yesu mioyoni mwetu.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA NNE

Mama Maria aliona uchungu sana alipokutana na Mwanae Yesu katika njia ya Msalaba.
Tuombe neema ya kudumu na Yesu siku zote.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA TANO

Mama Maria aliona uchungu sana alipomwona Mwanae Yesu akisulibiwa Msalabani.
Tuombe neema ya kufa mikononi mwa Yesu na Maria.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA SITA

Mama Maria aliona uchungu sana alipopakata maiti ya Mwanae Yesu baada ya kushushwa Msalabani.
Tuombe neema ya kutotenda dhambi.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

TESO LA SABA

Mama Maria aliona uchungu sana aliporudi nyumbani baada ya kumzika Mwanae Yesu
Tuombe neema ya kitulizo kwa Mama Maria.
Mama wa mateso utuombee.
Baba Yetu ……… Salamu Maria x7. Atukuzwe Baba ……
Mateso na majonzi ya Mama Maria hayana mfano.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 84

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Apr 9, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Oct 13, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Farida Guest Jul 28, 2018
πŸ™πŸ™πŸ™
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Jun 13, 2018
πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Mar 16, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Feb 11, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Oct 5, 2017
πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest Aug 18, 2017
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Apr 10, 2017
πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Mar 18, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Mar 12, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Mar 6, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Feb 21, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Dec 22, 2016
πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Sep 11, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Aug 23, 2016
πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Aug 4, 2016
πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Apr 10, 2016
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Jan 28, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Dec 11, 2015
πŸ™β€οΈ Mungu akubariki
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest Aug 5, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Jun 6, 2015
πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest May 22, 2015
πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Apr 20, 2015
πŸ™πŸ™πŸ™

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About