Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Amri ya Tatu ya Mungu: Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu

Featured Image

Katika amri ya tatu ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu:-

1. Kushiriki Misa Takatifu siku ya Jumapili na Sikukuu zote za Amri
2. Kuacha kazi nzito na
3. Kutenda matendo mema


Siku ya Mungu kwa Mkristo ni lini?

Siku ya Mungu kwa Mkristo ni siku ya Dominika, ndio siku aliyofufuka Bwana na huitwa pia Siku ya Bwana


Nani analazima kuhudhuria Misa Takatifu, Dominika na Sikukuu zilizoamriwa?

Kila Mkatoliki aliyetimiza umri wa Miaka saba na kuendelea ana lazima kuhudhuria Misa Takatifu, Dominika na Sikukuu zilizoamriwa.


Katika amri ya tatu ya Mungu tumekatazwa nini?

Katika Amri ya tatu ya Mungu tumekatazwa kufanya kazi nzito siku ya Dominika/Jumapili.


Kazi nzito zilizokatazwa kufanyika siku ya Bwana ni zipi?

Kazi nzito ni zile za kuchosha mwili na zisizo za lazima kama vile kulima, kujenga, kubeba mizigo mizito, biashara n.k.


Je ni dhambi kukosa Misa Jumapili?

NDIYO. Ni dhambi kubwa kukosa Misa kwa Makusudi siku ya Jumapili/Dominika na Sikukuu zilizoamriwa.


Nani atenda dhambi dhidi ya Amri ya tatu ya Mungu?

Anayetenda dhambi dhidi ya amri ya tatu ya Mungu ni yule:-

1. Asiyeshiriki Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa kwa uvivu au uzembe
2. Anayefanya kazi ngumu Dominika na sikukuu zilizoamriwa
3. Anayechelewa sehemu kuu ya Misa Takatifu
4. Anayekaa nje ya kanisa bila sababu wakati wa Misa Takatifu na Ibada. (Neh 13:15-22, Kut 20:8-11)


Anayevunja Amri ya Tatu ya Mungu yampasa nini?

Yampasa atubu na aungame kabla ya kushiriki Sakramenti nyingine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 8, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

John Malisa (Guest) on July 5, 2024

Mungu akubariki!

Joy Wacera (Guest) on April 23, 2024

Dumu katika Bwana.

Anna Malela (Guest) on April 22, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Sharon Kibiru (Guest) on April 20, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2024

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on August 22, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Mchome (Guest) on August 10, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Ann Wambui (Guest) on June 27, 2023

Nakuombea πŸ™

Rose Lowassa (Guest) on January 26, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Anna Malela (Guest) on January 9, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Kitine (Guest) on September 20, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on July 24, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on May 4, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Bernard Oduor (Guest) on March 12, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Mushi (Guest) on March 5, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Stephen Malecela (Guest) on January 28, 2022

Rehema hushinda hukumu

Monica Nyalandu (Guest) on November 18, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Malisa (Guest) on October 7, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Agnes Njeri (Guest) on June 24, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Malela (Guest) on June 7, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Bernard Oduor (Guest) on October 20, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Dorothy Nkya (Guest) on October 4, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Nyerere (Guest) on September 6, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Kenneth Murithi (Guest) on April 29, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Edward Lowassa (Guest) on January 30, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Elijah Mutua (Guest) on January 4, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mrope (Guest) on October 26, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Grace Wairimu (Guest) on April 14, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Patrick Akech (Guest) on February 9, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

John Mushi (Guest) on June 22, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Edward Lowassa (Guest) on February 1, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Benjamin Masanja (Guest) on November 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

John Lissu (Guest) on November 15, 2016

Sifa kwa Bwana!

Betty Kimaro (Guest) on October 17, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Andrew Mahiga (Guest) on October 5, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Monica Adhiambo (Guest) on August 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

David Ochieng (Guest) on May 25, 2016

Rehema zake hudumu milele

Grace Wairimu (Guest) on April 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

David Kawawa (Guest) on March 20, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Richard Mulwa (Guest) on February 24, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Richard Mulwa (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 1, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Alex Nakitare (Guest) on September 10, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Betty Kimaro (Guest) on April 16, 2015

Endelea kuwa na imani!

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa duniani, na imani yake juu ya ngono na maadili ya ki... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa? Kanisa Katoliki linaamini kuwa familia n... Read More

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu upendo na huruma?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu upendo na huruma?

Karibu kwenye makala yangu kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu upendo na huruma. Katika kanisa... Read More

Mafundisho kuhusu Toharani

Mafundisho kuhusu Toharani

Read More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema? Jibu ni... Read More

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Kuhusu Ubatizo, Haya ndiyo mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu

Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini?Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu? Jibu ni ndio! Kanisa ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa duniani na linazingatia sana haki na haki za bin... Read More

πŸ“– Explore More Articles