Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on May 21, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jonath (Guest) on April 20, 2024

Good

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on April 20, 2024

Inafurahisha na kutafakarisha

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 30, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on January 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 29, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on August 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Farida (Guest) on July 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salum (Guest) on July 30, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on May 22, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nuru (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on April 10, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kheri (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mchawi (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nancy Komba (Guest) on January 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Maimuna (Guest) on January 8, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on November 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Kamau (Guest) on October 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Neema (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on August 8, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Makame (Guest) on August 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Wanjala (Guest) on August 2, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 16, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mushi (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on April 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on March 28, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 5, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Mwikali (Guest) on February 23, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

John Kamande (Guest) on January 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About