Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mgeni (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 28, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Sokoine (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Binti (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Baraka (Guest) on March 14, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on March 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on January 2, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Ann Wambui (Guest) on November 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mboje (Guest) on October 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on September 11, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on August 6, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on August 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on July 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on July 17, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on June 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samson Mahiga (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Makena (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 8, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chiku (Guest) on November 9, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mtumwa (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 3, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Zuhura (Guest) on September 24, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on September 21, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Andrew Mchome (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on August 21, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Amollo (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zuhura (Guest) on July 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on June 2, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fredrick Mutiso (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Akumu (Guest) on May 16, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on May 14, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on May 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on April 13, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on April 11, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on March 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mariam Kawawa (Guest) on February 18, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on January 26, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More