Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 29, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kevin Maina (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on May 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on April 24, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

John Lissu (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ibrahim (Guest) on March 2, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Irene Akoth (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Omar (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on November 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on October 11, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on September 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 8, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Khalifa (Guest) on August 1, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on July 25, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Frank Macha (Guest) on July 18, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Otieno (Guest) on July 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2023

😊🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 4, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Kassim (Guest) on March 31, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on February 19, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Omar (Guest) on February 2, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Umi (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

David Chacha (Guest) on January 9, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Margaret Mahiga (Guest) on December 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on December 9, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Minja (Guest) on December 2, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Tambwe (Guest) on November 11, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on October 12, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Michael Mboya (Guest) on October 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Minja (Guest) on September 27, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 11, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 6, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 13, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mahiga (Guest) on June 30, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on June 25, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Baraka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on May 31, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.