Kutubu na Kusamehewa dhambi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-04-15 08:40:07πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma ya Mungu itokayo katika Upendo wake wa Mfano wa baba awapendavyo wanawe. Mungu anasubiri kukupokea kwenye mikono yake Ili akutunze kama mtoto wake kama utatubu na kumrudia yeye. Amua kumwendea leo! Anakungoja ni wewe tuu…

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
H
Henry Mollel2024-06-11 15:09:27
Nakuombea πŸ™
A
Anthony Kariuki2024-06-04 01:40:19
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
C
Charles Mrope2024-03-31 16:36:20
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
D
David Sokoine2024-01-09 00:00:32
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
R
Robert Ndunguru2023-11-28 09:48:01
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
B
Bernard Oduor2023-02-03 07:18:02
Dumu katika Bwana.
S
Sarah Achieng2022-12-24 02:44:06
Mwamini katika mpango wake.
R
Raphael Okoth2022-12-16 03:46:08
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
A
Andrew Mahiga2022-09-08 20:29:51
Tembea kwa imani, si kwa kuona
J
Joseph Kiwanga2022-01-01 03:25:04
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
P
Paul Ndomba2021-10-06 14:50:15
Nguvu hutoka kwa Bwana
R
Rose Lowassa2021-09-24 22:26:25
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
E
Elizabeth Malima2021-07-11 22:37:07
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
A
Anthony Kariuki2021-06-21 00:20:39
Baraka kwako na familia yako.
S
Stephen Mushi2021-05-22 13:35:29
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
L
Linda Karimi2021-01-11 13:00:39
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
F
Faith Kariuki2020-12-01 16:10:19
Imani inaweza kusogeza milima
M
Mary Kendi2020-09-07 12:34:51
Mwamini Bwana; anajua njia
S
Samuel Were2020-07-21 22:37:42
Katika imani, yote yanawezekana
B
Betty Kimaro2020-07-19 07:41:13
Mungu ni mwema, wakati wote!