
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Hiki ndiyo kifo.KIFO NI NINI..Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana MABAUSA Huku akisema"BABY WANGU HATA HAWAOGOPI"ππππ
Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

Hiki ndiyo kifo.KIFO NI NINI..Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana MABAUSA Huku akisema"BABY WANGU HATA HAWAOGOPI"ππππ

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kituβ¦

πUjinga wa ndoto ndiyo huuβ’β’Utaota umeokota dolla ukiamka emptyβ¦β’β’Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOAβ¦..ππππππ

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai: MSICHANA: Umekuβ¦

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashinβ¦

GARI YA MILIONI 50UNALAZA NJEβ¦mke wa laki sitaunalala nae ndaniβ¦.BANGI SI NZURI JAMANππππππππ

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZIjaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" atakuelewa ila mwite kwa kiswaili " *kiazi wangu mbatata*"hiyo itakuwa vitβ¦

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya paβ¦

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuniβ¦unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote.β¦

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikate, kwa bahat mbaya akaminya cha kupokelea, alipohangaika kuzima β¦

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..Order! Orderβ¦Mimi na kiherehere changu nikasema.. Chapati .. Maziwa na ovacado tatu β¦Nimewekwa kwa karoom kengine hβ¦

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!! 2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie. 3. Nauli kuβ¦

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi yaβ¦

Marafiki wawili (Jose na Ben) walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.Wakaanza kβ¦

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.Basi alvyotoka akamuuliza,''ehe mme wangu ulienjoy?" Mme,"ah wajβ¦

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu.4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapaβ¦

MADENGEHAKOSIVISAbaada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayoMADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniitβ¦

Boss;- kwa nini umechelewa kaziniJuma;- kuna mtu njiani alidondosha elfu1Boss;- ohhoh kwa hiyo ulikuwaunamsaidia kuitafutaJuma;- hapana nilikuwa nimeikanyagaπππβ¦

Dunia ina mamboKuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso wakeπππππ

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinomaakawambia wanafunzi.'leo tutajifunza kipindi chadini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendeleana kipindi mwaliβ¦

Ndoto zingine bwana usiombe zikupateMimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivβ¦

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.BABA: kwanini unasema hivyo?.

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:1. Mrembo wa darasa.2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbiliβ¦

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua β¦