Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Lugha za namba ni noma

Featured Image
237 💬 ⬇️

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 💬 ⬇️

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Featured Image
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki
236 💬 ⬇️

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 💬 ⬇️

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image
240 💬 ⬇️

Cheka na methali

Featured Image
239 💬 ⬇️

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Featured Image
Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka uje nyumbani Girl: oh sorry ctoweza kuja sababu kuna haruc ya aunt yangu
236 💬 ⬇️

Mambo ya pesa haya..

Featured Image
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About