Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on April 26, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 16, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaisha (Guest) on January 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Mwangi (Guest) on October 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on August 20, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Kabura (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on April 12, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mjaka (Guest) on April 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shamsa (Guest) on February 17, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Kawawa (Guest) on February 13, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khatib (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Richard Mulwa (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Arifa (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on October 22, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on October 20, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on October 11, 2022

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on October 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mushi (Guest) on September 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Maimuna (Guest) on September 11, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 25, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nassor (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Ochieng (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Nasra (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jackson Makori (Guest) on February 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on February 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on January 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on December 29, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on November 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About