Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Featured Image
Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka uje nyumbani Girl: oh sorry ctoweza kuja sababu kuna haruc ya aunt yangu
236 💬 ⬇️

Chezea kufulia!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
237 💬 ⬇️

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu 👧 girlfriend wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 💬 ⬇️

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About